PENNY ASIFIA KITOVU CHAKE

Mtangazaji wa DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’.
MTANGAZAJI wa DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’ amewashtua mashabiki wake baada ya kutupia picha kwenye mtandao wa Instagram ikionesha sehemu kubwa ya tumbo lake likiwa wazi.
Akizungumza na mwandishi wetu mara baada ya picha hiyo kuzagaa mitandaoni, Penny alisema ameitupia picha hiyo kuonesha alivyokuwa mazoezini akiwa amechoka na kujilaza hivyo asielewekevibaya.
Peniel Mungilwa ‘Penny’ akiwa kwenye pozi.
“Nimeanza mazoezi ya nguvu sana na tayari nimeshapungua karibu kilo 10, nimefanya hivyo kwa nia ya kuuweka sawa mwili wangu, nisieleweke vibaya,” alisema Penny.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini