RAY C APIGA PICHA ZA UCHI

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEizMFYE1gU9VZ3DdmU43nVm0wwtcv0tEkfUSYo2REZSn_lFw4aNaNR-D5Gyg1YZ_Qf6mm2-CgZszTi6zpW1OT3x-d1L3P1X9PRamchrHj4UsMbZP63eNfoHtT7tFYQhwRH4piUE750wZMs/s1600/Ray+C.gif
Mwanamuziki staa wa bongo fleva Rehema Chalamila a.k.a Ray C amepoteakatika anga ya muziki kwa kipindi kirefu kutokana na matatizo ya matumizi ya madawa ya kulevya na baada ya kupata tiba sasa mambo yanaonekana kurudi katika hali yake ya kawaida.
 Pamoja na ukimya wake katika muziki, Ray C a.k.a kiuno bila mfupa sasa anaonekana kuwa active zaidi katika mitandao ya kijamii hususan Instagram. 
 Ray C ameshare baadhi ya picha na fans wake kupitia instagram ambazo kwa namna moja au nyingine zinaongea zenyewe (kwa kusindikizwa na captions) juu ya maisha yake ya sasa.
 

Kwa ufupi ni kuwa Rehema anakula bata tu sasa hivi, thanks kwa shavu alilopewa na Rais Jakaya Kikwete ambaye anamuita ‘Daddy’. 

Take a look more pics inside….


  

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini