MADHARA YA MVUA KUBWA ILIYONYESHA LEO JIJINI DAR ES SALAAM


Magari yakipita katika madimbwi ya maji yaliyotokana na mvua kubwa ya maji iliyonyesha leo kwenye mitaa ya jiji la Dar es Salaam.
 
 
 
 
 
Mvua  kubwa  iliyonyesha  leo  mchana  imesababisha   mafuriko  yaliyosababisha  uharibifu  wa  miundo  mbinu  ikiwa  ni  pamoja  na kuizingira baa ya mtangazaji wa kipindi cha Wikiendi Bonanza kinachorushwa na kituo cha redio cha Clouds FM, Ben Kinyaiya, iliyoko Kinondoni maeneo ya Vijana.
 

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini