TWANGA YAWASHIKA MASHABIKI DAR LIVE

Waimbaji wa bendi hiyo Kalala Jr (kushoto) na Pentagon wakiimba kwa pomoja.
Kalala Jr akirap katika makalio ya mmoja wa wanenguaji wa bendi hiyo.

Wanamuziki wa bendi hiyo wakionyesha umahili wao wa kucheza.
Mnenguaji akionyesha umahili wa kunengua hakiwa amepiga msamba.
Shabiki ambae ni mlemavu  akinenguliwa.
Shabiki akionyesha kuwa nayeye si mchezo katika kunengua.
Kalala akishangazwa na umahili wa kunengua wa shabiki wa bendi hiyo.
Ukumbi wa Taifa wa burudani wa Vodacom Dar Live usiku wa kuamkia leo  ulitikisika kutokana na kufulika mashabiki ambao walijitokeza kwa wingi  kushuudia onyesho la  bendi ya African Star “Twanga Pepeta”.
Katika onyesho hilo bendi bendi hiyo iliporomosha shoo ya nguvu huku wanenguaji wake wakionyesha uwezo wa hali ya juu kutokana na  unenguaji wao wa madoido.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini