KIONGOZI WA KANISA AMKINGIA KIFUA JOKATE

Mwanamitindo mahiri Bongo, Jokate Mwegelo
KIONGOZI wa kwanya katika Kanisa la St. Peter, Oysterbay jijini Dar, Rogers Mgonja amemtetea mwanamitindo mahiri Bongo, Jokate Mwegelo kuwa hajalikacha kanisa kama inavyodaiwa.
Hivi karibuni ziliibuka taarifa kuwa, Jokate amezuiwa kutinga kanisani hapo kutokana na kuvaa mavazi ya nusu utupu yasiyoendana na maadili.
“Jokate ni mwanadada mwenye nidhamu sana kanisani, viongozi wote wanampenda ni mpole na msikivu, Kama ni mavazi, kanisani anavaa mavazi ya heshima ni ngumu sana kumfukuza kwa sababu ambazo haziingiliani na masuala ya kanisa,” alisema Mgonja.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini