Staa wa filamu nchini, Jacquline Wolper, akiingia katika ukumbi huo.
Baadhi ya wanawake waliokuwepo kwenye hafla hiyo.
Flotea Masawe akisikiliza jambo kwa makini.
7. Mwamitindo maarufu, Asia Idarous, akizungumza jambo.
. Baadhi ya waimbaji wa bendi ya Jahazi.
9. Mwanamama majasiriamali, Flotea Masawe, akielezea alivyotajirika.
10. Wanawake wakisikiliza shuhuda za wanawake waliojikwamua katika umasikini.
11. Flotea Masawe akisikiliza jambo kwa makini.
12. Muandaaji wa sherehe hiyo, Zeynat Mohamed.
KAMPUNI ya Wanawake Tunaweza juzi ilichangisha fedha kwa ajili ya kusomesha watoto mbao wamefaulu kuendelea na masomo lakini hawana fedha. Hafla hiyo ilifanyika katika kilele cha siku ya Wanawake Duniani katika Hotel ya Hyaat Kilimanjaro jijini Dar es Salaam.
9. Mwanamama majasiriamali, Flotea Masawe, akielezea alivyotajirika.
10. Wanawake wakisikiliza shuhuda za wanawake waliojikwamua katika umasikini.
11. Flotea Masawe akisikiliza jambo kwa makini.
12. Muandaaji wa sherehe hiyo, Zeynat Mohamed.
KAMPUNI ya Wanawake Tunaweza juzi ilichangisha fedha kwa ajili ya kusomesha watoto mbao wamefaulu kuendelea na masomo lakini hawana fedha. Hafla hiyo ilifanyika katika kilele cha siku ya Wanawake Duniani katika Hotel ya Hyaat Kilimanjaro jijini Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment