AFISA Elimu Sekondari wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Julius Kakyama, anaandamwa na tuhuma nzito. Tuhuma hizi zinatoka wilayani Muleba, mkoa wa Kagera alikofanya kazi kabla ya kuhamishwa.
Anadaiwa kutumia madaraka yake kuomba rushwa ya ngono; kuomba rushwa
ya fedha taslimu kutoka kwa walimu, wanafunzi na watumishi wengine
katika halmashauri ya Muleba.
Ni mazingira hayo ya kutuhumiwa huku na kule, baadhi ya walimu
walisusia tafrija ya kumuaga ambayo iliandaliwa na wakuu wa shule
wilayani Muleba.
>>Tanzania daima
>>Tanzania daima
0 comments:
Post a Comment