JACKILIN WOLPER AKANUSHA SKENDO YA KUWATELEKEZA WAZAZI WAKE



https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhMbJCgMBWsxL8YMP9vg3eSyJeC-Bk1XXfJ4rOnBBS_FcMKSDEZy2gjCJ_3bb6WdPKcSqqLq3hNRf6COqoOtul-dcoNi_xY59pcN8n90GbU-ZMiUZ12jITvt2en3sCU4jA_UaecB3SSqLJW/s640/wolper.jpg
Jackilin Wolper .
Staa wa sinema za Kibongo, Jackilin Wolper amechomoa madai yaliyoibuka kuwa hawajali wazazi wake.Baada ya taarifa hizo za chinichini kuzagaa, Wolper aliibuka na kuzikanusha:
“Wazazi wangu ni matajiri kwa pesa gani nyingi nilizonazo za uwafikia wao kiasi cha kuwapa matunzo, bado nawategemea hivyo wanaodai nimetelekeza wazazi ni waongo tu.”

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini