KAJALA ALISHWA SUMU, AWAHISHWA HOSPITALINI HARAKA KWA MATIBABU!


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg1v-fkuS2zw041K8LK2aaC8aT7kevH-nJyZxAud0JBF9W42zkMgfgzna3lZb5JM2E2hRFaFayy6b1e4KUrTiQGQOZvGL-g9eN7ko92wD7Bndpj1eRxTjD8Z7VnygZb0KVLxwOL3Hm8YRl6/s640/a86fa146e2ed11e29aba22000ae9082c_7.jpg
Mwanadada mwigizaji Kajala juzi alikumbwa na dhahama ya kusikitisha baada ya kulishwa kitu kinachosadikiwa kuwa ni sumu alipokuwa kwenye show ya msanii wa muziki kizazi kipya Izzo Business huko.

Akielezea Zaidi kajala alisema…

‘’Jana (juzi) nilivyokuwa kwenye shoo ya izzo ghafla nikaanza kuumwa nikapelekwa home halafu nikaenda hospitali. Nilivyo pimwa nikakutwa nimekunywa kitu chenye sumu lakini namshukuru mungu naendelea vizuri asante mungu kwa kila jambo...

Hali ya kajala ni nzuri na ameruhusiwa kutoka hospitalini sasa. Pole sana Kajala

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini