
Sasa nimekuwa kama mgonjwa ,nikiona mwanamke mwenye wowo kubwa akiri
yangu inaruka kabisa. Leo katika pilika pilika za kutafuta maisha nikiwa
kariakoo nimegongwa na boda boda nikiwa namshangaa mdada mwenye matako
makubwa , bahati nzuri sikuumia sana, lakini sasa nawasi wasi kwamba
inawezaikatokea nikagongwa nagari kabisa nakuumia sana au hata kufa kwa
huu ugonjwa wangu wa kupenda kutamani wanawake wenye makalio makubwa .
Sasa sijui nifanyaje, kuna rafiki yangu mmoja kanishauri nioe mwanamke
mwenye makalio makubwa labda itakuwa nafuu kwangu. Majanga haya , yani
leo baada ya kugongwa nilijiona jinga sana aisee...Naomba ushauri
CREDIT: UDAKU ESPECIALLY
0 comments:
Post a Comment