WANAFUNZI WA CHUO WANASWA WAKISAGANA



Tukio hili lili husisha mabinti wawili walio kuwa wanafunzi wa chuo kimoja kikuu huko jamaica, wakisagana ndani ya gari la boyfriend wammoja wao. Inasemekana wawili hao wamekuwa wakifanya hivyo kwa muda sasa kwani tetesi zilienea muda mrefu ulio pita ila tu hakuna aliyekuwa na uhakika wa tabia hiyo kwa wanafunzi hao.
Ni wanafunzi warembo na wote wako na ma boyfriend, alieleza mmoja wa wanafunzi wa chuo hicho, pia aliongezea kuwa mabinti hao ni kati ya wanafunzi wanaofanya vizuri sana hapo shule na pia akieleza kwa
kusikitika kuwa ni swala gumu kuamini kama mabinti hao wanafanya usagaji wakati wako na wapenzi pia ni warembo sana na wanaheshimika hapo chuoni.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini