MUIGIZAJI wa ‘longtime’ katika tasnia ya filamu Bongo, Ruth Suka
‘Mainda’ amefunguka kuwa bora azae kwani kutozaa kwake kunamfanya aumwe
mara kwa mara.
Akizungumza na papazi wetu, Mainda alisema amegundua kuwa ili apone
ugonjwa wa chango unaomsumbua mara kwa mara ameshauriwa na madaktari
azae ndiyo itakuwa suluhu.
0 comments:
Post a Comment