DAVINA AJIFUA KUOGOPA KUACHIKA

Halima Yahya ‘Davina’.
Halima Yahya ‘Davina’, staa wa sinema Bongo, amefunguka kuwa anajitahidi kufanya mazoezi ili mwili wake usizeeke akaachika kwa mumewe.
Akipiga stori na paparazi wetu, Davina alisema mikakati yake ni kuhakikisha ndoa yake inashamiri miaka yote.
“Sikubali kuachika, siri ya kulinda ndoa yangu ni mazoezi tu, acha nijifue mwanzo mwisho,” alitamba  Davina.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini