ZITTO: NIPO TAYARI KUPOKEA MAAMUZI YA KAMATI KUU YA CHADEMA KESHO

Akizungumza katika kipindi cha Baragumu kinachorushwa na televisheni ya Channel 10, Zitto amesema yupo tayari kupokea maamuzi ya kikao cha kamati kuu ambacho kitakaa kesho.japo anaonyesha maamuzi hayo yatakuwa siyo ya haki.
Zitto amekuwa mpole sana na anaonyesha kujua maamuzi ya kikao cha kesho kitu ambacho anasema yeye kama mwanasiasa lazima ajiandae kisaikolojia.
Ila amesema akishindwa kutafuta haki ndani ya chama basi atatumia katiba kupata haki.
Update:
- Zitto anasema watazunguka nchi nzima. Hii imekuja wakati akijibu swali kutoka Karatu swali je watazunguka na nani? Na kupitia chama gani?

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini