Akizungumza katika kipindi cha Baragumu
kinachorushwa na televisheni ya Channel 10, Zitto amesema yupo tayari
kupokea maamuzi ya kikao cha kamati kuu ambacho kitakaa kesho.japo
anaonyesha maamuzi hayo yatakuwa siyo ya haki.
Zitto amekuwa mpole sana na anaonyesha kujua maamuzi ya kikao cha kesho kitu ambacho anasema yeye kama mwanasiasa lazima ajiandae kisaikolojia.
Ila amesema akishindwa kutafuta haki ndani ya chama basi atatumia katiba kupata haki.
Update:
- Zitto anasema watazunguka nchi nzima. Hii imekuja wakati akijibu swali kutoka Karatu swali je watazunguka na nani? Na kupitia chama gani?
Zitto amekuwa mpole sana na anaonyesha kujua maamuzi ya kikao cha kesho kitu ambacho anasema yeye kama mwanasiasa lazima ajiandae kisaikolojia.
Ila amesema akishindwa kutafuta haki ndani ya chama basi atatumia katiba kupata haki.
Update:
- Zitto anasema watazunguka nchi nzima. Hii imekuja wakati akijibu swali kutoka Karatu swali je watazunguka na nani? Na kupitia chama gani?
0 comments:
Post a Comment