PICHA: WASANII MBALIMBALI WAKIPOZI NA MASHABIKI WAO KWENYE RED CARPET NDANI YA DAR LIVE

Msanii wa filamu na mjane wa marehemu Sajuki, Wastara Juma, akipozi katika Red Carpet ya Dar Live usiku wa X-mas.

......Wastara akiwa na rafiki yake Bonda, Mtangazaji wa televisheni ya Channel Ten. Pichani chini akiwa na mashabiki wake mbalimbali waliobahatika kupiga nae picha.
Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma, akipozi katika red carpet na mashabiki wake ndani ya Dar Live.
Msanii na Director wa muvi bongo, Mahsein Awadh 'Dk. Cheni', akipata picha katika red carpet ndani ya Dar Live. Pichani chini akipiga picha na mashabiki wake mbalimbali...
Mwigizaji mahiri nchini, Mahsein Awadh 'Dk. Cheni' akila pozi na mashabiki wake mbalimbali katika red carpet ya Dar Live.
Muigizaji mkongwe wa filamu bongo, Mzee Chilo katika pozi la Red Carpert.
Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Kassim Mganga akila pozi kwenye red carpet.
Kassim Mganga (kulia) akipozi na shabiki wake.
Msanii wa Hip Hop, Joseph Haule 'Profesa Jay' akipozi na mashabiki wake.
Joh Makini katika pozi kwenye red carpet.
 
Mwana Hip Hop Joh Makini kutoka Kundi la Weusi akipozi na mashabiki wake Dar Live.
Mmoja kati ya mashabiki kibao wa Dar Live aliyepata nafasi ya kupiga picha kwenye Red Carpet.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini