Joyce Kiria.
MTALAKA wa mtangazaji Joyce Kiria, Nelson Nkongo ‘DJ Nelly’ amefunga
ndoa na mwanamke mwingine aliyefahamika kwa jina la Elinda ‘Aika’.
Mapema wiki hii, picha za wanandoa hao zilizagaa kwenye simu za
mastaa mbalimbali huku wengi wao wakimpongeza Nelly kwa kuchukua uamuzi
huo wa kuvuta jiko lingine baada ya kumwagana na Joyce mwaka 2011.
“Tunampongeza Nelly kwa kuwa hakukurupuka kama wanaume wengine ambao huwa wanaamua kuoa haraka, kwa vyovyote atakuwa amechunguza sana ili kumpata mke mwema,” alisema Linda wa Dar.
“Tunampongeza Nelly kwa kuwa hakukurupuka kama wanaume wengine ambao huwa wanaamua kuoa haraka, kwa vyovyote atakuwa amechunguza sana ili kumpata mke mwema,” alisema Linda wa Dar.
0 comments:
Post a Comment