SHILOLE AAMUA KUJISIFIA MITANDAONI

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgWxHr7TulJDjCkezdeZXlbiC66GuZD8D8yXXETl8mFuaKALPctttAQqPzomyVqEnBLVwF_yAhuNUhTTLMJK8dGja_FhheqMG6zLJrhMy1LvjfhgBkHUXy6aqQYxnYwizArxtND9E8iqyg/s1600/shilole.jpg 
Zuwena Mohamed ‘Shilole’. 
STAA wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa katika uhusiano wa kimapenzi hajawahi kuachwa bali huwa anaacha mwenyewe. 
Akistorisha na mwanahabari wetu, Shilole alisema tangu aanze kuwa na uhusiano, amekuwa bingwa wa kupiga ‘vibuti’ wanaume ambao hawaeleweki.
“Ukweli sijui nina nini ila naamini Mungu amenipa kitu cha pekee kwa sababu naweza kumuacha mwanaume kwa kumtukana lakini akataka kurudi, sijawahi kuachwa,” alisema Shilole

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini