SIPENDI KWENDA CLUB NA MPENZI WANGU, NAPENDA NIENDE PEKE YANGU!


Huwa siko huru kabisa ninapokuwa na mpenzi wangu club, kwanza kuna wakati naona kama namkosea heshima vile nikisalimiana na wasichana wengine anakosa raha, mara ananiambia amechoka anataka kurudi nyumbani halafu hapo ndio kwanza club pamenoga, alafu sisikii raha nikicheza nae napenda kucheza na mtu simjui najiachia mpaka, naona Bora niwe nimuache tu kiroho safi. Au vipi wadau..!

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini