Nawapongezeni kwa Kuwa sehemu ya
Kuandika historia Mpya kwa Taifa la Tanzania,Mkitunga Katiba Bora Majina
yenu yataandikwa kwa Wino wa Dhahabu.
Naombeni Mtunge Katiba Itakayo Dumisha Umoja wetu,Asili zetu,Katiba ambayo haitatutenganisha kirangi,Kisiasa au Kiimani.
Kihistoria hii ni Mara ya 3 Katiba ya Tanzania Inatungwa Upya,Tofauti na Vipindi Vingine.Kipindi hiki Utungaji wa Katiba Umeshirikisha Wananchi wengi zaidi.
Msukumo Mkubwa sana wa Kudai Katiba Mpya Ulianza baada ya Mfumo wa Vyama Vingi,Wengi walizani kuwa Kudai Katiba Mpya kutawasaidia Kushinda chaguzi dhidi ya CCM.La hasha!!!
Desemba Mwaka 2012 nilitangaza Kuanza Mchakato wa Kutunga Katiba Mpya,Kazi hii ilipewa Tume ya Kukusanya Maoni ya Watanzania..
Mchakato Mzima wa Katiba Utahitimishwa na Wananachi kwa Kuipigia Kura ya Maoni kama wanaikubali Katiba au La!!!
Kitendo cha Mwenyekiti wa Tume Kuwasilisha Rasimu ya Katiba Mpya Tar.18/03/2014 hapa Bungeni,Ilikuwa ndio Mwisho wa Kazi ya Tume ya Warioba, kazi iliyobakia ni Kwenu Wabunge.
Naishukuru sana Tume ya Warioba Rasimu walioitunga inaleta Mambo mengi kwenye Katiba Mpya ya Tanzania,Ni Rasimu Nzuri. Rasimu inamambo mengi sana .
Naombeni sana Msome Rasimu ya Katiba Yote kwa Makini,Sio unafundishwa cha Kusema,Unafundishwa Uzungumze nini.Akili za Kuambiwa Chnganya naza kwako.
Kama Kuna Jambo halifai kwenye Rasimu Wajumbe Msisite kulifuta.
Tungeni Katiba ambayo Watanzania wataipenda,Sio Mtunge katiba baada ya Muda Mfupi manataka kurekebisha,Msitunge Katiba Mpya isiyoweza Kutekelezeka.
Rais Kikwete amesema Kuna sehemu Rasimu Inamapungufu sana.,Ibara ya Pili inaacha Maziwa na Mito kuwa ni Sehemu ya Tanzania.
MUUNDO WA SERIKALI TATU.
Kuna Mambo yanayopendekezwa na Tume Mf.Viwanda,Afya n.k yapo kwenye Serikali ya Nchi za Ushirika.
Serikali ya Muungano inahusisha,Katiba,Usalama (Baadae bado) Mambo mengi yanatekelezeka Kupitia Serikali ya Muungano tuliyo nayo sasa,Rasimu ya Serikali tatu inawaweka wapi watumishi?Naomba Msome sana Rasimu yote.
Naombeni Mtunge Katiba Itakayo Dumisha Umoja wetu,Asili zetu,Katiba ambayo haitatutenganisha kirangi,Kisiasa au Kiimani.
Kihistoria hii ni Mara ya 3 Katiba ya Tanzania Inatungwa Upya,Tofauti na Vipindi Vingine.Kipindi hiki Utungaji wa Katiba Umeshirikisha Wananchi wengi zaidi.
Msukumo Mkubwa sana wa Kudai Katiba Mpya Ulianza baada ya Mfumo wa Vyama Vingi,Wengi walizani kuwa Kudai Katiba Mpya kutawasaidia Kushinda chaguzi dhidi ya CCM.La hasha!!!
Desemba Mwaka 2012 nilitangaza Kuanza Mchakato wa Kutunga Katiba Mpya,Kazi hii ilipewa Tume ya Kukusanya Maoni ya Watanzania..
Mchakato Mzima wa Katiba Utahitimishwa na Wananachi kwa Kuipigia Kura ya Maoni kama wanaikubali Katiba au La!!!
Kitendo cha Mwenyekiti wa Tume Kuwasilisha Rasimu ya Katiba Mpya Tar.18/03/2014 hapa Bungeni,Ilikuwa ndio Mwisho wa Kazi ya Tume ya Warioba, kazi iliyobakia ni Kwenu Wabunge.
Naishukuru sana Tume ya Warioba Rasimu walioitunga inaleta Mambo mengi kwenye Katiba Mpya ya Tanzania,Ni Rasimu Nzuri. Rasimu inamambo mengi sana .
Naombeni sana Msome Rasimu ya Katiba Yote kwa Makini,Sio unafundishwa cha Kusema,Unafundishwa Uzungumze nini.Akili za Kuambiwa Chnganya naza kwako.
Kama Kuna Jambo halifai kwenye Rasimu Wajumbe Msisite kulifuta.
Tungeni Katiba ambayo Watanzania wataipenda,Sio Mtunge katiba baada ya Muda Mfupi manataka kurekebisha,Msitunge Katiba Mpya isiyoweza Kutekelezeka.
Rais Kikwete amesema Kuna sehemu Rasimu Inamapungufu sana.,Ibara ya Pili inaacha Maziwa na Mito kuwa ni Sehemu ya Tanzania.
MUUNDO WA SERIKALI TATU.
Kuna Mambo yanayopendekezwa na Tume Mf.Viwanda,Afya n.k yapo kwenye Serikali ya Nchi za Ushirika.
Serikali ya Muungano inahusisha,Katiba,Usalama (Baadae bado) Mambo mengi yanatekelezeka Kupitia Serikali ya Muungano tuliyo nayo sasa,Rasimu ya Serikali tatu inawaweka wapi watumishi?Naomba Msome sana Rasimu yote.
Rais amesema Ibara ya 128 inayoleta dhana
ya Kupoteza Ubunge kutokana na Kutofanya kazi za Kibunge kwa Tatizo la
Maradhi au kizuzini kwa Muda wa Miezi 6.Someni kwa Makini kipendele
hiki,Jambo hili liwekwe Vizuri.
Yaani Mbunge augue Miezi sita Mfululizo eti afukuzwe,Huu ni Ukatili Usiotakiwa kwenye Katiba Mpya.
Pia kuhusu Mbunge kuwa Bungeni kwa Vipindi Vitatu,Sasa Kama Mtu ameingia akiwa na Miaka 25 anamaliza akiwa na Miaka 40.Hii si sawa,Ni kunyimana Fursa.Hatuwezi Kupata Viongozi wa Kutengenezwa kwa Namna hii,Viongozi watatoka wapi wakati kila anapofikia hatua ya Kukomaa Ukomo wake umefika.
MUUNDO WA SERIKALI.
Hii ndio Ajenda Mama,Ombi langu Kwenu Kwanza Muwe watulivu mnapojadili Swala hili,Mkilijadili kwa Jazba wenye hasira hawa Jengi,Wenye hasira hawatengenezi jambo Vizuri.Uamuzi usio kuwa sahihi kwenye Jambo hili Unahasara Kubwa,Tanzania inaweza kuwa Nchi iliyojaa Migogoro yenye Matatizo ambayo hatujawahi kuwa nayo.
Kudai Serikali tatu sio Jambo Jipya,Ulikuwepo wakati Wa Kuunganisha Nchi zetu Mbili,Wakaamua Serikali mbili.
Imependekezwa Mara Nyingi lakini Halikukubalika,Bora Mzungumze kama linakubaliwa likubaliwe,kama Linakataliwa Likataliwe.
Waasisi wa TAIFA LETU Waliamua Kuchagua Muundo wa Serikali Mbili.
1.Ni muundo Usio Imeza Zanzibar.
2.Tanganyika kubeba mzigo wa kuihudumia Zanzibar.
Ni vigumu sana Kuacha Kujadili Figa za Wazee wetu hawa,Wao ndio Wakwanza kutuletea Mfumo huu.
Zungumzeni hoja zao,Zungumzeni muone hoja zao.
Mfanye Maamuzi "Informed Decision" .Wapeni Heshima ya Kujadili Mawazo yao,Yanani ni Bora kuliko ya hawa Wazeee??
Kwa mujibu wa tume ya Warioba ,
1. Serikali tatu ndo matakwa ya watanzania wengi
2.Serikali tatu zinatoa majibu ya changamoto za sasa za muundo wetu....
Rais amesema kuwa wapo wanaokubaliana na tume, lakini pia wapo wanaopinga.
Wanaopinga wanasema kuwa takwimu za tume ya Warioba hazionyeshi wala kuthibitisha madai ya kwamba watanzania wengi wanataka serikali tatu...
Rais amedai kuwa, Watu 351664 walijiandikisha kutoa maoni ambapo kati yao, watu 47820, sawa na asilimia 13.6 ndio waliodai kukerwa na muundo wa muungano...
Asilimia 86.4 walidai kuwa hawana tatizo na muundo wa muungano ...
Sasa, Iwaje asilimia 13.6( waliotoa maoni ) igeuke kuwa ya watanzania wengi???
Kwa takwimu hizi, madai ya tume kwamba watanzania wengi wanataka serkali tatu si ya kweli.....
Kuhusu madai ya tume kwamba serikali tatu itatatua changamoto zinazoukabili mfumo wa serikali mbili, Rais alianza kwa kutaja faida za Serikali mbili na changamoto za serikali tatu:
Faida za Serikali mbili:
1.Imesaidia sana kudumisha amani
2.Inatoa wepesi wa kusimamia na kuiongoza serkali
3. Mkubwa kutommeza mdogo ( zanzibar )
Changamoto za Serikali tatu:
1.Gharama kubwa za uendeshaji wa shughuli za umma
2.Kuibuka kwa sera kinzani
3. Namna ya uchangia wa gharama za serikali ya tatu ( ya muungano )
4. Tofauti za kimaendeleo
Mlolongo huu unadhihirisha kuwa muundo wa serikali tatu hautapunguza matatizo na badala yake utatuongezea matatizo zaidi
Rais amekiri uwepo wa changamoto ndani ya muundo wa sasa wa serikali mbili, lakini akadai kuwa changamoto hizo zinaweza kupatiwa ufumbuzi pasipo na uwepo wa serikali nyingine ya tatu!
Rais Kikwete amesema kuwa Serikali ya tatu itakayoundwa ni serikali ambayo haina chanzo chochote cha mapato cha kuiwezesha kujiendesha, hivyo kuna hatari ya shughuli za serikali ya muungano kukwama kwa sababu haina nyenzo yoyote ya kuonesha kwamba mapato yanawakilishwa....
Rais alidai kuwa, tume ya Warioba ilipendekeza kuwa, Serikali hii inaweza kukopa ili iweze kujiendesha...Amefafanua kuwa, hii ni serikali ambayo haina rasilimali yoyote zaidi ya jeshi, polisi na mahakama, hivyo ni serikali ambayo haikopesheki....
Rais Kikwete amesema kuwa Watanzania zaidi ya 90% wamezaliwa baada ya 1964! .Ikishatengenezwa Tanganyika, masharti yataibuka! Watu wataanza kuwa wageni... Watakaotoka upande wa pili wa Muungano
Ikishazaliwa Tanganyika, chuki za Utaifa zinaweza kuanza; na zitatufikisha pabaya! Rais ameeleza kuwa,hata Tume ya Mabadiliko hawana majawabu ya uhakika juu ya kero zitakazotokana na serikali tatu!
"Kama mnaamua tuuvunje Muungano, vunjeni lakini si wakati nikiwepo"...Amesema Rais Kikwete
Pia kuhusu Mbunge kuwa Bungeni kwa Vipindi Vitatu,Sasa Kama Mtu ameingia akiwa na Miaka 25 anamaliza akiwa na Miaka 40.Hii si sawa,Ni kunyimana Fursa.Hatuwezi Kupata Viongozi wa Kutengenezwa kwa Namna hii,Viongozi watatoka wapi wakati kila anapofikia hatua ya Kukomaa Ukomo wake umefika.
MUUNDO WA SERIKALI.
Hii ndio Ajenda Mama,Ombi langu Kwenu Kwanza Muwe watulivu mnapojadili Swala hili,Mkilijadili kwa Jazba wenye hasira hawa Jengi,Wenye hasira hawatengenezi jambo Vizuri.Uamuzi usio kuwa sahihi kwenye Jambo hili Unahasara Kubwa,Tanzania inaweza kuwa Nchi iliyojaa Migogoro yenye Matatizo ambayo hatujawahi kuwa nayo.
Kudai Serikali tatu sio Jambo Jipya,Ulikuwepo wakati Wa Kuunganisha Nchi zetu Mbili,Wakaamua Serikali mbili.
Imependekezwa Mara Nyingi lakini Halikukubalika,Bora Mzungumze kama linakubaliwa likubaliwe,kama Linakataliwa Likataliwe.
Waasisi wa TAIFA LETU Waliamua Kuchagua Muundo wa Serikali Mbili.
1.Ni muundo Usio Imeza Zanzibar.
2.Tanganyika kubeba mzigo wa kuihudumia Zanzibar.
Ni vigumu sana Kuacha Kujadili Figa za Wazee wetu hawa,Wao ndio Wakwanza kutuletea Mfumo huu.
Zungumzeni hoja zao,Zungumzeni muone hoja zao.
Mfanye Maamuzi "Informed Decision" .Wapeni Heshima ya Kujadili Mawazo yao,Yanani ni Bora kuliko ya hawa Wazeee??
Kwa mujibu wa tume ya Warioba ,
1. Serikali tatu ndo matakwa ya watanzania wengi
2.Serikali tatu zinatoa majibu ya changamoto za sasa za muundo wetu....
Rais amesema kuwa wapo wanaokubaliana na tume, lakini pia wapo wanaopinga.
Wanaopinga wanasema kuwa takwimu za tume ya Warioba hazionyeshi wala kuthibitisha madai ya kwamba watanzania wengi wanataka serikali tatu...
Rais amedai kuwa, Watu 351664 walijiandikisha kutoa maoni ambapo kati yao, watu 47820, sawa na asilimia 13.6 ndio waliodai kukerwa na muundo wa muungano...
Asilimia 86.4 walidai kuwa hawana tatizo na muundo wa muungano ...
Sasa, Iwaje asilimia 13.6( waliotoa maoni ) igeuke kuwa ya watanzania wengi???
Kwa takwimu hizi, madai ya tume kwamba watanzania wengi wanataka serkali tatu si ya kweli.....
Kuhusu madai ya tume kwamba serikali tatu itatatua changamoto zinazoukabili mfumo wa serikali mbili, Rais alianza kwa kutaja faida za Serikali mbili na changamoto za serikali tatu:
Faida za Serikali mbili:
1.Imesaidia sana kudumisha amani
2.Inatoa wepesi wa kusimamia na kuiongoza serkali
3. Mkubwa kutommeza mdogo ( zanzibar )
Changamoto za Serikali tatu:
1.Gharama kubwa za uendeshaji wa shughuli za umma
2.Kuibuka kwa sera kinzani
3. Namna ya uchangia wa gharama za serikali ya tatu ( ya muungano )
4. Tofauti za kimaendeleo
Mlolongo huu unadhihirisha kuwa muundo wa serikali tatu hautapunguza matatizo na badala yake utatuongezea matatizo zaidi
Rais amekiri uwepo wa changamoto ndani ya muundo wa sasa wa serikali mbili, lakini akadai kuwa changamoto hizo zinaweza kupatiwa ufumbuzi pasipo na uwepo wa serikali nyingine ya tatu!
Rais Kikwete amesema kuwa Serikali ya tatu itakayoundwa ni serikali ambayo haina chanzo chochote cha mapato cha kuiwezesha kujiendesha, hivyo kuna hatari ya shughuli za serikali ya muungano kukwama kwa sababu haina nyenzo yoyote ya kuonesha kwamba mapato yanawakilishwa....
Rais alidai kuwa, tume ya Warioba ilipendekeza kuwa, Serikali hii inaweza kukopa ili iweze kujiendesha...Amefafanua kuwa, hii ni serikali ambayo haina rasilimali yoyote zaidi ya jeshi, polisi na mahakama, hivyo ni serikali ambayo haikopesheki....
Rais Kikwete amesema kuwa Watanzania zaidi ya 90% wamezaliwa baada ya 1964! .Ikishatengenezwa Tanganyika, masharti yataibuka! Watu wataanza kuwa wageni... Watakaotoka upande wa pili wa Muungano
Ikishazaliwa Tanganyika, chuki za Utaifa zinaweza kuanza; na zitatufikisha pabaya! Rais ameeleza kuwa,hata Tume ya Mabadiliko hawana majawabu ya uhakika juu ya kero zitakazotokana na serikali tatu!
"Kama mnaamua tuuvunje Muungano, vunjeni lakini si wakati nikiwepo"...Amesema Rais Kikwete
0 comments:
Post a Comment