Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Maya alisema kuwa hakuna kitu anachokitamani kama kupata mtoto lakini kila akifikiria mtu anayeweza kupata naye mtoto ndipo ugumu unapokuja.
“Yaani mimi kama mtoto napenda sana kuwa naye lakini kinachonikera zaidi ni baba yupi ambaye nitazaa naye, wanaume wengi ni waluwalu tu,” alisema Maya.
0 comments:
Post a Comment