MAPENZI YA RIHANNA NA DRAKE YAZIDI KUKOMAA




Baada ya kuwepo tetesi nyingi kuwahusu, sasa imethibitishwa kuwa Drake na Rihanna ni wapenzi. Vyanzo mbalimbali vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Rihanna na Drake wametoka kwenye ukaribu wa kawaida hadi kuwa na uhusiano serious wa kimapenzi.


Mtandao huo umedai kuwa Rihanna anataka kutumia muda mwingi na Drake pindi muda wake ukimruhusu kwakuwa Drake anamtreat vizuri kuliko mwanaume yeyote aliyewahi kuwa naye. Wawili hao wamekuwa pamoja wakati ambapo Drake akiwa na ziara barani Ulaya na vyanzo vimesema kuwa wamekuwa pamoja kila siku tangu waonekana pamoja kwa mara ya kwanza.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini