LULU MICHAEL ANASWA AKIPIGWA MABUSU NA KUSHIKWASHIKWA KIMAHABA NA MWANAUME USIKU WA MANANE

 
Star aliyejaaliwa kipaji cha kuigiza  almaarufu  kwa  jina  la  Elizabeth Michael  "Lulu  Michael " amenaswa akipigwa mate  na kushikwa kimahaba  usiku  wa  manane ndani  ya  vichochoro  vya  jiji  la  Dar  na jamaa ambaye hakujulikana jina lake mara moja. 

Hivi karibuni ilidaiwa kuwa Lulu alipata mchumba ambaye siye huyo anayeonekana pichani hapo juu,  kwa hiyo uchumba wake unaweza kuwa hatarini kwani kwa mapozi aliyoweka na jamaa   huyo inaonekana ni watu waliozoeana  KIMWILI.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini