BAADA ya minong’ono ya muda mrefu, hatimaye staa wa Bongo Fleva, Estelina Sanga ‘Linah’ ameweka wazi kuwa anatoka kimapenzi na Nagari Kombo.

Akiteta na kona hii, wikiendi iliyopita jijini Dar es Salaam, Linah
alisema: “Ni kweli kwa sasa natoka na Kombo, ndiye mwanaume wangu, sina
haja ya kuficha. Mimi na Amini imebaki stori tu, hata yeye ana mtu
wake.”
0 comments:
Post a Comment