JACK CHUZI: MTACHONGA SANA ILA MUME WANGU HAWEZI KUNIACHA

Jacqueline Pentzel ‘Jack wa Chuz’.
MWIGIZAJI Bongo, Jacqueline Pentenzel ‘Jack Chuz’, amewabwatukia mashostisto zake ambao wanaomba aachike kwa mumewe Gardner Dibibi, kuwa wanajisumbua kwani hatoachika.

Akiizungumzia ndoa yake yenye umri wa zaidi ya mwaka mmoja, Jack alisema hata wakigombana huwa wanapatana haraka:
“Najua wapo wanaokesha kuomba tuachane, niwaambie tu, watasubiri sana mpaka watachoka, siachiki ng’o,” alisema Jack

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini