HII NDIO SIKU AMBAYO HARUSI YA KIM KARDASHIAN NA KANYE WEST ITAFANYIKA

Rapper Kanye West na Star wa reality show "Keeping up with the Kardashians" Kim Kardashian wanatarajia kufunga ndoa yao mwezi May tarehe 24.

Kutokana na mtandao wa Daily mail, ndoa hiyo wataifungia Ufaransa katika mji wa Paris.
Mwezi uliopita Kim alisema kadri siku zinavyozidi kwenda wanaona kabisa ndoa yao itakuwa ni ndogo sana na wala haitakuwa kubwa kama watu wanavyofikiria.

Mwezi wa kumi Kanye ali-propose kwa Kim katika sherehe binafsi iliyofanyika AT&T Park, Francisco, California.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini