Akizungumza na paparazi wetu hivi karibuni jijini Dar, Dino alisema badala ya kuigiza ameamua kurekodi vipindi ambavyo atavirusha katika televisheni kwani angalau inalipa kuliko sinema.
“Nimeona bora kuweka pembeni uigizaji na nimeelekeza nguvu zangu zote katika suala la kurekodi vipindi mbalimbali vya runinga, nitaangalia siku za usoni kama kuna haja ya kuigiza tena,” alisema Dino.
0 comments:
Post a Comment