Hi...
Kuna dada yetu anaomba ushauri wenu. Yeye ni msichana mwenye umri wa
miaka 22 ana mchumba na karibuni wanatarajia kufunga ndoa. Wasiwasi wake
ni kwamba anahisi kama yeye sio bikra, na yeye hajawahi kufanya tendo
la ndoa na mwanaume yeyote.
Ila ni mara nyingi anakua anameet na mchumba
wake wanafanya kissing, yani kunyonyana midomo, wanapapasana sehemu zao
za siri lakini kila mmoja akiwa amevaa nguo zake kamili. Wanafanya hayo
yote ila hawajawahi kukutana kimwili kufanya tendo la ndoa.
Anauliza
jee kufanya hayo yote yanaweza kumfanya kupoteza ubikira wake bila ya
kufanya tendo lenyewe? Na jee ni sababu zipi zinazomfanya msichana
kupoteza ubikira wake? Anaomba ushauri wenu. Shukrani
Udaku Specially
Udaku Specially
0 comments:
Post a Comment