NIMECHOSHWA NA WAPENZI WA KUKUTANA MITANDAONI HASA HASA FACEBOOK

Mi nimechoshwa na wasichana wa humu mtandaoni mana wa kwanza alikuwa mwizi, wa pili alikuwa malaya wa kutupwa ,wa tatu mpenda hela ka amezaliwa kwenye ATM wa mwisho ana majini ...Daah Mechoka Mie

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini