DIAMOND APONDWA NA MASHABIKI WAKE KUWA ANASHOBOKEA X-MAS ANGALI YEYE NI MUISLAM


Zikiwa zimebaki siku chache tu hadi kusherehekewa kwa sikukuu ya Christmas, mastaa wengi duniani wamekuwa wakishare kadi zao spesho za Christmas zenye picha zao pia. Kwa Nigeria tayari Iyanya amefanya hivyo. 
Lakini damu ya kunguni ya Diamond Platnumz yenye harufu kali ipitapo jirani na pua za ‘haters’ wengi wa Kibongo, imemponza baada ya kuweka picha ya kadi ya Christmas kwenye ukurasa wake wa Facebook. Haijulikani lakini kama ni kadi ama ni teaser ya kampeni yake kama balozi wa Cocacola. Haikuchukua muda, baadhi ya mashabiki wake wakaanza kuicheka kadi ya ‘udini’.

  Soma baadhi ya comments za mashabiki hao...


TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini