SKENDO YA MADAWA YA KULEVYA YAMNYOOSHA AGNESS MASOGANGE

Video Queen maarufu Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’.
VIDEO Queen maarufu Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amekuwa makini na kusafiri kwa tahadhari kubwa baada ya kunusurika kwenye msala wa madawa yaliyodaiwa kuwa ni ya kulevya nchini Afrika Kusini ‘Sauz’ mwaka jana.
Masogange alisema kwa sasa akipewa begi na mtu yeyote lazima alikague kwani hakufanya hivyo alivyokamatwa awali.
“Nimekoma kwa sasa mtu hawezi kunipa begi halafu nikamsaidia bila kulikagua, nasachi mara mbilimbili,” alisema Masogange.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini