KUMBE WEMA SEPETU NA GLOBAL PUBLISHERS NI DAMU DAMU

Juzi tu Wema Alienda Ofisi za Global Publishers na kuanzisha Timbili la Haja kwa kudai kuwa wanamfuatilia sana na kumwandika Sana kwenye Magazeti yao..Nikiamini Wema Sepetu na Global Publishers ni Maadui wa Kutupwa ....Lakini Jana Wema Sepetu Kaudhuria Shindano la Global Publishers na Kutunikiwa Ijumaa Sexiest Girl kama Sikosei...Najaribu kuwaza tu kwa sauti  Je walikaa chini na Kumaliza Tofauti zao ? Au kummpa Ushindi huo wa Sexiest Girl Basi Wema Ndio Kasahau Kila Kitu .....?????

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini