SIX PACKS ZA DIAMOND ZAWAPAGAWISHA MABINTI WA KIKENYA

Wadada wa Kenya Wapagawa na Six Packs za Diamond alipokuwa akiogelea katika Bwawa Moja Huko
Nairobi alipoenda week iliyopita ..Wadada wengi walio kuwa wakishuhudia tukio hilo la kuogelea la diamond na wacheza show wake walisikika wakisema No wonder Diamond is Getting Fine Girls wa Kibongo....Na wengine wakimsifia jinsi alivyoumbika

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini