DAVINA AMSHAURI WASTARA ASIKATE TAMAA


 
Halima Yahaya ‘Davina’.
BAADA ya staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma kutoa shukurani kwa wasanii wenzake zilizotafsiriwa kama anajitabiria kifo chake, msanii mwenzake, Halima Yahaya ‘Davina’ ameibuka na kumtaka asikate tamaa.

Alisema alishtuka baada ya kuona maelezo gazetini (Ijumaa Wikienda) ambayo Wastara alimpongeza kama rafiki mwenye mchango na hakujua kama anathamini na kukumbuka vitu watu walivyomfanyia ila kikubwa amemtaka asikate tamaa kwa yote yaliyomtokea.
“Asikate tama, mitihani tumeumbiwa wanadamu, tunapaswa kuishinda,” alisema Davina.

 https://scontent-b-fra.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1/1150827_431602273651609_328247987_n.jpg
Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma.

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini