Halima Yahaya ‘Davina’.
BAADA ya staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma kutoa shukurani kwa
wasanii wenzake zilizotafsiriwa kama anajitabiria kifo chake, msanii
mwenzake, Halima Yahaya ‘Davina’ ameibuka na kumtaka asikate tamaa.
Alisema alishtuka baada ya kuona maelezo gazetini (Ijumaa Wikienda)
ambayo Wastara alimpongeza kama rafiki mwenye mchango na hakujua kama
anathamini na kukumbuka vitu watu walivyomfanyia ila kikubwa amemtaka
asikate tamaa kwa yote yaliyomtokea.
“Asikate tama, mitihani tumeumbiwa wanadamu, tunapaswa kuishinda,” alisema Davina.
“Asikate tama, mitihani tumeumbiwa wanadamu, tunapaswa kuishinda,” alisema Davina.
Staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma.
0 comments:
Post a Comment