UDAKU: MWANAMZIKI BORA WA MWAKA 2013 NI NANI?

Mwaka uliopita 2013 ulikuwa wa Mafanikio Makubwa sana kwa Wasanii hasa wa Bongo Flava ..Wengine wameweza mpaka kushika nyoyo za Mashabiki nje ya Tanzania ...Je unafikiri nani ni Mwanamuziki Bora Katika Mwaka ulioisha jana 2013?  Comment Jina la mwanamuziki unae dhani ni Bora

TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

0 comments:

Post a Comment

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini