WEMA SEPETU AHUSISHWA KUVUJISHA PICHA ZA UCHI ZA RAFIKI YAKE NAIMA

http://2.bp.blogspot.com/-OBkB5clrWgE/Uu9-dFglulI/AAAAAAAAK5U/Jlp1ID3vL7w/s640/68e72a385c0c11e3bf47122036478823_8.jpg
Kufuatia kuvuja kwa picha za ibu za aliyekuwa shoga yake Wema Sepetu kabla ya kutemana na Naima kuchukuliwa na aliyekuwa mpenzi wa Wema ambae ni kizito  anaetajwa kwa jina la Clement , habari zimevuja kuwa huenda ni mashabiki wa Wema walifanya hivyo kumkomoa tu Naima.

Kwa mujibu wa chanzo   chetu ambacho ni mmoja wa kundi la mashabiki wa Wema kilisema : ” Kwa nini hizo picha zilikuwa hazijavuja toka siku nyingi ?, hiyo ni mikakati ya mashabiki wa Wema ambao daima hawapendi kuona Wema akinyanyasika  na ndio maana zimevuja baada ya kumchukua Kigogo”


Picha za naima zimevuja hivi karibuni zikimuonesha maziwa wazi pamoja na kumuonesha nyeti zake za nyuma na mbele jambalo limeichafua familia yake sana huku wakimlani mtu aliyefanya hivyo.

 ANGALIZO: KUZIONA PICHA SHARTI UWE ABOVE +18..



Soma Habari Kamili

RED HANDED! NJEMBA AUVAA MTEGO AKIWA NA MKE WA RAFIKI YAKE GESTI


MAANDIKO yanasema ‘usitamani mali ya mtu mwigine’! Ni kweli kabisa, onyo hilo lilichukua fursa yake kufuatia njemba mmoja aliyejulikana kwa jina la Anton John Mwaweje kunaswa laivu gesti na mke wa rafiki yake aliyefahamika kwa jina moja la Chalz.
ANGALIA KAMANDA WA OFM AKIELEZA ALIVYOMNASA NJEMBA AKIWA NA MKE WA RAFIKI YAKE GESTI!
Mke wa mtu sumu: Anton John Mwaweje baada ya kunaswa akiwa na mke wa rafiki yake gesti.
Tukio hilo lilijiri mwanzoni mwa wiki hii kwenye gesti moja maarufu (jina tunalo) iliyopo Buguruni- Malapa jijini Dar es Salaam.
Katika sakata hilo ilidaiwa kuwa, Mwaweje alikuwa akiifahamu vyema familia ya Chalz sambamba na mke wake (jina lipo) lakini hilo hakulijali na kumtokia mke wa Chalz ambaye kwa utamaduni wa Kiafrika ni shemejiye.
Mshangao: Anton John akishangaa baada ya kuba
Habari zikazidi kudai kwamba, ilifika mahali katika kumtaka shemejiye huyo ambaye alikuwa akimkatalia katakata, Mwaweje alitumia gia nyingine ikiwemo ya kumuahidi mambo manono kama angekubali kuivunja amri ya 6 ya Muumba na yeye.
Chanzo cha habari kiliendelea kudai kuwa, ‘Mungu si Athuman wa Lucas’ siku isiyo na jina jamaa alimtumia ujumbe (SMS) mke wa mwenzake kwa kutumia maneno ya kumtoa nyoka pangoni kumbe muda huo bwana simu alikuwa nayo mwenye mke.
Misosi na mitungi: Baadhi ya misosi na vinywaji vilivyokutwa chumbani humo.
Chalz alimwita mkewe na kumuuliza ni nani aliyemtumia ujumbe huo? Ndipo mke akaanika ukweli akisema:
“Mume wangu, wala usikonde. Aliyetuma ujumbe huo si mwingine, ni Anton…”
Mume: “(akihamaki) Anton huyuhuyu?”
Mke: “Huyuhuyu mume wangu. Amekuwa akinitaka kimapenzi kwa muda mrefu sana, namkatalia lakini hasikii.”

 
Za mwizi 40: Bwana Anton John akiwa na pingu mkononi baada ya kunaswa na kamanda wa OFM pamoja na wanausalama.
Pia, mwanamke huyo alimwonesha mumewe meseji kibao ambazo jamaa huyo amekuwa akimtumia na zile ambazo yeye amekuwa akimkatalia.
“Sasa sikia, mkubalie,” mwanaume huyo alimwambia mke wake huku midomo ikimcheza kwa hasira.
Chini ya usimamizi wa mumewe, mwanamke huyo aliwasiliana na Anton na kumwambia alikuwa na nafasi wanaweza kukutana kwa ajili ya kumsaliti Chalz.

Baada ya kupanga mipango ya kukutana, mume huyo alipiga simu Global Publishers kwenye kitengo cha Oparesheni Fichua Maovu (OFM) na kuomba msaada wa fumanizi ambapo alibahatika kukuta kuna kamera mpya zimewasi tayari kwa kazi kama hizo.
Baada ya kupata maelezo ya Chalz, OFM ilishirikiana na Jeshi la Polisi Buguruni –Kwamnyamani jijini Dar na kuandaa mtego ambapo Jumatatu iliyopita, saa nane na ushee mchana, Anton ambaye naye inasemekana ana mke aliuingia mtego na kunasa kwenye chumba namba 5 akiwa na mke mwema huyo.
Ndani ya chumba hicho, Anton alikutwa na boksa tayari kwa mlo wa wizi ambao alibakia kuendelea kusikia njaa. Mezani, kulikuwa na chipsi kuku na pombe ambazo zingewapa stimu kabla ya mchezo.
Kitendo cha Chalz kumnasa jamaa huyo na mkewe kitandani kilimpandisha munkari ambapo nusura afanye ndivyo sivyo lakini alitulizwa na polisi waliokuwa eneo hilo kwa ajili kulinda usalama.
Kilichofuata baada ya hapo, mgoni huyo akiwa na pingu mkononi alipelekwa kwenye kituo hicho cha polisi ambapo awali, Chalz alitoa ripoti ya malalamiko baada ya kugundua jamaa huyo anataka kumtumbukiza mkewe kwenye mstari wa usaliti.
Mpaka OFM wanaondoka kituoni hapo, taratibu za kisheria kuhusiana na kesi hiyo zilikuwa zikiendelea huku mgoni huyo akiwa chini ya ulinzi mkali.

Soma Habari Kamili

MWANAFUNZI WA CHUO CHA IFM ATAFUTA UMAARUFU KWA KUPIGA PICHA ZA UCHI NA KUZISAMBAZA MITANDAONI

http://4.bp.blogspot.com/-B7rFUwVBcFE/Uw_9qY69S1I/AAAAAAAANj4/YVS_-slJLNA/s640/IMG-20140227-WA0026.jpg
Mwanafunzi huyo anahusika kwa kufanya mapenzi na ngono na kuacha kufwatilia masomo katika chuo hicho cha ifm ameweka picha hizo mtandaoni ilikujinyakulia umaarufu kutokana na sifa ya kuwa malaya bila kuapata mkwanja wa kutosha...



http://3.bp.blogspot.com/-znkLWam0Iwo/Uw_9o_o5m5I/AAAAAAAANjk/mjOvKyPj-as/s640/IMG-20140227-WA0017.jpg
mwanafunzi huyo ambae aliweka picha hizo ili aweze kuwateka watu na kutimiza adhma yake ya kujiridhisha kimapenzi kwani kiwavi jeshi cha mapenzi hua atosheki na bwana ake hivo utumia nguvu kupata penzi kwa kutumia mitego hii na yeye ni maji mara moja ukigusa tu umempata...

BOFYA HAPO CHINI UZIONE PICHA ZAKE LAIVU (+18)







source: onelovetz

Soma Habari Kamili

SIKILIZA WIMBO MPYA WA SHETTA FT DIAMOND PLATINUMZ-KEREWA


Shetta ameachia wimbo mpya unaoitwa 'Kerewa',aliomshirikisha Diamond Platinumz,wimbo umetayarishwa na Sheddy Clever.
 
Usikilize hapa

Soma Habari Kamili

JANUARY MAKAMBA NA SUGU WASHIRIKI KWENYE WIMBO WA HIP HOP WA KUSISITIZA SANAA KUTAMBULIKA KWENYE KATIBA MPYA


Kilio cha wasanii kuitaka katiba mpya kuitambua sanaa ya Tanzania kama sekta rasmi kimepewa sapoti na Naibu waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January makamba na mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu.
 
Kwa mujibu wa mtandao wa Bongo5, Makamba na Sugu wameshiriki kwenye wimbo wa hip hop uliowahusisha rappers 13 wa Tanzania, wimbo wenye lengo la kusisitiza sanaa kutambulika kwenye katiba mpya. Katika wimbo huo, January Makamba amefanya Intro na Outro imefanywa na Sugu.
 
Rappers walioshiriki kwenye wimbo huo uliopewa jina la ‘Haki’ ni Kala Jeremiah, Quck Rocker, G-Nako, Nikki wa Pili, Mwana Fa, Danny Msimamo, Profesa Jay, Gosby, Joh Makini, Fid Q na Kala Pina.
 
‘Haki’ imetayarishwa ndani ya Bongo Records na mtayarishaji mkongwe P-Funk Majani.

Soma Habari Kamili

PNC AFUNGUKA BAADA OSTAZ JUMA KUWEKA PICHA NA VIDEO IKIONESHA ANAMPIGIA MAGOTI, OSTAZ NAE ALELEZA SABABU YA KUPOST PICHA NA VIDEO HIYO!


Jumatano (February 26, 2014), Boss wa Watanashati Ostaz Juma alipost picha kwenye ukurasa wake wa Facebook ikimuonesha PNC akimpigia magoti kumuomba msamaha na kuandika “hahaha jamani mziki ni kazi pnc arudi kuomba msamaha ili aendelee kufanya kazi mtanashati”. Kitendo ambacho kilipondwa na wengi na kuonekana kama ni udhalilishaji.

Bonyeza play kuona video hiyo
 
Akiongea kupitia The Jump Off ya 100.5 Times Fm, Ostaz Juma alieleza sababu zilizompelekea yeye kupost picha hiyo ambapo alidai kufanya hivyo ili kuwaonesha watanzania kuwa malalamiko ya PNC ya awali hayakuwa ya kweli, na kwamba kama yangekuwa ya kweli basi asingerudi tena na kumpigia magoti.
 
“Watanzania wanaona kama tunawadhurumu wasanii ama tunawanyanyasa. Ndio PNC kunipigia magoti na kuniomba radhi, lakini sasa mimi nikaamua kuwaonesha watanzania kwamba PNC amerudi kweli kuniomba msamaha. Je, kama kweli PNC alikuwa analalamika ‘Ostaz anafanya kazi zake hanijali hanisaidii…’ Alisema Ostaz Juma.
 
“Mimi kitu ambacho kinachoniumiza zaidi ni kile ambacho wasanii ukishawasaidia wakasimama wanaonekana, wanaanza kuwa wanafanya vitu vibaya wanasnitch yaani wanadharau na tabia mbovu wanamdharau boss wao na ndio maana nikawa nimekataa baadhi ya wasanii wote.” Aliongeza.
 
Hata hivyo pamoja na kumuomba msamaha na kumpigia magoti, Boss huyo wa Watanashati Entertainment ameendelea kumkazia uzi PNC na kumpa masharti mengine ili aweze kukubaliwa.
 
“Lakini kweli PNC karudi kuja kuomba msamaha na mimi nikampa option, kama akitaka nimsamehe lazima arudi kwenye vyombo vya habari kama alivyoenda mwanzo, akawaombe msamaha watanzania na aniombe mimi msamaha kupitia vyombo vya habari ndio mimi ntamsamehe.” Ananukuliwa Ostaz Juma.
 
Nae PNC alifunguka ya moyoni pia kupitia The Jump Off ya Time Fm, na kwa mujibu ya maelezo yake utagundua ule msemo wa ‘mtaka cha uvunguni…’ unachukua nafasi. PNC anaona kila kilichofanyika kwake kiko sawa tu ili mradi mambo yake yaende.
 
“Mimi naweza nikasema ni kawaida tu, kwa sababu kuomba msamaha pia ni kitu cha kawaida sio tatizo. Mimi nimefanya hivyo kwa maana yangu tu najua mwenyewe nimefanya hivyo kwa sababu bado nahitaji kufanya kazi zangu ziende. 

"Kwa hiyo sasa nikisema niwe kiburi nini…japokuwa sijakosa mimi ila mkubwa anapoona kuna makosa akawajumlisha wote inabidi mjishushe saa nyingine, ujichukulie kama mdogo sio na wewe unaanza kuwa una viburi na jeuri. 

"Nimeshakaa kwenye game…muziki nimeuanza muda najua madhara yake ni yapi. Kwa hiyo nimefanya tu kawaida kumwambia bwana mambo haya yaishe na nini tufanye mambo yetu. 
 
“Kwa sababu yeye mwenyewe kitu kilichokuwa kinaongeleka kwake ni lawama zake kwamba mimi nilimletea watu, mwisho wa siku wamekuja kuharibu mambo yake mpaka wanafikia hatua ya kufanya mambo mengine wanamkana na nini. Sasa mimi ukiangalia ukweli mimi ndiye niliyewakaribisha wasanii wote waliokuwa Mtanashati. 

"Lakini sio kwamba mimi ndio niliyekosea kwamba nilikosea…mimi sikugombana na Ostaz ila niliona kimya nikaanza kuona hapa kazi hazieleweki nikaamua kusema kama vipi siko Mtanashati.  Ila mwisho wa siku nikaa kuongea nae nikajua tatizo liko wapi. Kwa hiyo ikabidi nimweleze bana kama vipi basi tusameheane mambo hayo yaishe tufanye kazi. 
 
“Ukiangalia kwenye hizi picha, nimeziona hizi picha na kuna watu wanaandika mambo yao ya ajabu ajabu wanadiss, lakini mimi naona sawa tu kwa sababu kupiga goti na kumuomba mtu msamaha sio kwamba umemsujudia yeye ndio Mungu hakuna. Ni kama umeonesha heshima tu kwamba wewe ni brother. Ukiangalia mimi silingani nae umri hata kidogo na huyo mtu ndio mtu ambaye hata kwa ndugu zangu anaongea nao. 
 
“Kwa hiyo fresh tu nimeomba samahani kama brother angu. Potelea mbali maneno yataongeleka yataenda yatapita, mimi kazi zangu ntaendelea kufanya.” PNC

AUDIO  IKO  HAPO  CHINI
>>TIMES 100.5 FM

Soma Habari Kamili

TAARIFA KUHUSU KOCHA WA TAIFA STARS KUACHISHWA KAZI


Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) na Kocha wa Taifa Stars, Kim Poulsen wamekubaliana kuvunja mkataba katika makubaliano ambayo ni siri kwa pande zote mbili.

Uamuzi huo ulitangazwa jana (Februari 27 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kwa pamoja na Rais wa TFF, Jamal Malinzi na Kocha Poulsen mbele ya waandishi wa habari.
 
Rais Malinzi kwa niaba ya TFF ametoa shukrani za dhati kwa Kocha Poulsen kwa ushirikiano na mchango ambao ameutoa kwa Tanzania kuanzia kwenye mpira wa miguu wa vijana.
 
Naye Kim amewashukuru Watanzania kwa ushirikiano waliompatia kwa kipindi cha miaka mitatu alichokaa nchini kuanzia Mei 2011 alipoteuliwa kuwa kocha wa timu za Taifa za vijana, na baadaye Taifa Stars.
 
Akizungumzia benchi jipya la ufundi la Taifa Stars, Rais Malinzi amesema linatarajiwa kutangazwa hivi karibuni likiongozwa na kocha kutoka nje ya Tanzania.
 
Amesema kwa upande wa mechi dhidi ya Namibia itakayochezwa Machi 5 mwaka huu jijini Windhoek, Stars itaongozwa na Kaimu Mkurugenzi wa Ufundi, Salum Madadi akisaidiwa na kocha Hafidh Badru kutoka Zanzibar.
 
Katika hatua nyingine, Kocha Madadi amewaondoa wachezaji watano wa Yanga katika kikosi kilichotajwa awali ili wapate fursa ya kuitumikia timu yao kwenye mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al-Ahly ya Misri.
 
Wachezaji hao ni Athuman Idd, David Luhende, Deogratius Munishi, Frank Domayo, Kelvin Yondani na Mrisho Ngasa. Pia kipa Ivo Mapunda ameondolewa katika kikosi hicho baada ya kupata msiba.
 
Nafasi zao zimezibwa na wachezaji Abdi Banda (Coastal Union), Himid Mao (Azam), Juma Luizio (Mtibwa Sugar), Said Moradi (Azam) na Shabani Kado (Coastal Union).
 
Taifa Stars itaingia kambini kesho (Machi 1 mwaka huu) jioni kwenye hoteli ya Accomondia jijini Dar es Salaam, na itaondoka Machi 3 mwaka huu alfajiri kwa ndege ya South African Airways na kurejea nchini Machi 7 mwaka huu saa 8.15 mchana.

Soma Habari Kamili

HII NI KAULI YA MSANII DIAMOND KUHUSU WASANII WANAOLAZIMISHA KUMTENGENEZEA UGOMVI


Msanii  Diamond  ameiandika hii  status na kuisambaza kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii ya Instagram na facebook.

Soma Habari Kamili

BASI LA BUNDA EXPRESS LAGONGWA NA TRENI WILAYANI MANYONI-SINGIDA!

Mtu  mmoja  amefariki  dunia  na  wengine  38  wamejeruhiwa  vibaya  kufuatia  ajali  ya  basi  la  Bunda  Express  walilokuwa  wakisafirikia   kutoka  Dodoma  kwenda  Mwanza  kugongana  na  Treni  eneo  la  Manyoni  Mkoani  Singida....

Click image for larger version. 

Name: 1927176_10203155108939266_2129235680_n.jpg 
Views: 0 
Size: 67.5 KB 
ID: 142109
Click image for larger version. 

Name: 1927210_10203155098659009_707579712_n.jpg 
Views: 0 
Size: 107.8 KB 
ID: 142110
Click image for larger version. 

Name: 1974499_10203155108299250_288809627_n.jpg 
Views: 0 
Size: 59.6 KB 
ID: 142111

Soma Habari Kamili

NIMEKARIBIA KUFUNGA NDOA NA NILIMDANGANYA MCHUMBA WANGU KUWA MIMI NI BIKIRA, JE NIFANYEJE?..USHAURI PLZ!

https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-ash3/t1/p206x206/1939626_703319889719795_1126110368_n.jpgHi... Kuna dada yetu anaomba ushauri wenu. Yeye ni msichana mwenye umri wa miaka 22 ana mchumba na karibuni wanatarajia kufunga ndoa. Wasiwasi wake ni kwamba anahisi kama yeye sio bikra, na yeye hajawahi kufanya tendo la ndoa na mwanaume yeyote. 
 
Ila ni mara nyingi anakua anameet na mchumba wake wanafanya kissing, yani kunyonyana midomo, wanapapasana sehemu zao za siri lakini kila mmoja akiwa amevaa nguo zake kamili. Wanafanya hayo yote ila hawajawahi kukutana kimwili kufanya tendo la ndoa. 
 
Anauliza jee kufanya hayo yote yanaweza kumfanya kupoteza ubikira wake bila ya kufanya tendo lenyewe? Na jee ni sababu zipi zinazomfanya msichana kupoteza ubikira wake? Anaomba ushauri wenu. Shukrani

Udaku Specially

Soma Habari Kamili

JOKATE: ULOKOLE BASI!,..PICHA ZA UCHI ALIZOPIGA ZAMTESA!



 
 Jokate Mwegelo.
Picha za nusu utupu ambazo amezipiga mwanamitindo maarufu Bongo, Jokate Mwegelo zinaonekana kumtesa kufuatia baadhi ya waumini wa kanisa analosali kumsema kuwa anakwenda kinyume na maadili.
 
Picha hizo anazoonekana amevaa gauni refu jekundu huku likiwa na mpasuo ‘wa haja’ uliyolifanya sehemu kubwa ya paja lake kuwa wazi, zimesambaa kiasi cha kuwafanya baadhi ya mashabiki wake kumtaka ajiangalie upya.
Wakizungumza na Ijumaa kwa nyakati tofauti, baadhi ya wadau wamesema kutokana na jinsi alivyokuwa ametulia kiimani, mrembo huyo alikuwa anaelekea kwenye ulokole lakini kwa hili anapotea.
“Unajua yule ni modo mwenye jina kubwa sana lakini alikuwa ametulia sana, hata nilipomuona amejiunga na kwaya ya pale kanisani kwetu St. Peter, niliona ameamua kumfuata Yesu kikwelikweli lakini kwa picha hizi, mh!” alisema Juster John anayesali kanisani hapo.
Naye rafiki wa Jokate aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema: “Ninachokumbuka Jokate aliwahi kuniambia anataka kuokoka ili amtumikie Yesu kisawasawa lakini kwa mavazi haya nadhani mawazo ya ulokole itakuwa basi tena.”
Ijumaa lilifanya jitihada za kumtafuta Jokate na kumuuliza juu ya picha hizo, alipopatikana alisema: “Nilizipiga kwa ajili ya kuitangaza kampuni yangu ya mitindo ya Kidoti.
Ijumaa: Sasa mbona umeacha mapaja wazi sana?
Jokate: Huh!

Ijumaa: Huh nini?
Jokate: Nishasema ni za Kidoti, ilikuwa ni kwa ajili ya kutangaza nguo na nywele zangu.
Ijumaa: Kuokoka ndiyo basi tena?
Jokate: Kimyaaa.

Hata hivyo gazeti hili linamshauri mrembo huyu kwamba, kwa kuwa ameshajijengea heshima kubwa kwenye jamii, ni vyema akawa makini na mavazi kama haya ambayo yanaweza kumfanya akatafsiriwa tofauti.

Soma Habari Kamili

STEVE NYERERE: LULU NI BINTI MDOGO ILA ANAJITAMBUA TOFAUTI NA WASANII WENGINE WAKUBWA


Elizabeth Michael ‘Lulu’.
RAIS wa Bongo Movie Unit, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amemmwagia sifa staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuwa ni binti mdogo lakini sasa anajitambua tofauti na wasanii wengine wakubwa.
Akipiga stori na Ijumaa Steve alisema kuwa, mbali na umakini katika kazi zake za kisanii, sasa hivi yuko makini sana na maisha yake kiasi kwamba ni nadra sana kumkuta na skendo za kijingajinga.
Steve Nyerere.
“Achilia mbali hao mastaa wote unaowajua wewe, mimi nikiwa kama kiongozi wa Bongo Movie siwezi kusema uongo, namkubali sana Lulu kwani ni binti mdogo na anajitambua na sasa siyo mtu wa kuendekeza mambo ya starehe kama wengine, pia huwezi kumuona viwanja kirahisi, katulia anafanya kazi,” alisema rais huyo.

Soma Habari Kamili

MAIMARTHA AUKARIBISHA UPOFU KUFUATIA KUTUMIA GUNDI KWA KUPACHIKIA KOPE BANDIA



MWANADADA mtangazaji na mjasiriamali, Maimartha Jesse anaonekana kuukaribisha upofu kufuatia kukithiri kutumia gundi katika kujipachika kope bandia.

Maimartha Jesse.
Kwa mujibu wa daktari wa Ijumaa, wanawake wanaobandika sana kope bandia wanajiweka kwenye hatari ya kupata upofu ambapo Mai ni miongoni mwao.
Katika tukio la hivi karibuni mwanadada huyo alionekana akiwa amejibandika gundi katika harakati ya kujibandika kope hizo na alipoulizwa na paparazi wetu kama haogopi madhara yake alisema:
“Huo ni urembo tu, nimebandika hivyo nikiwa katika maandalizi ya kubandika kope katika macho yangu, sidhani kama naweza kupata tatizo lolote.”

Soma Habari Kamili

WAISLAM WENYE ITIKADI KALI WAHUKUMIWA JELA KIFUNGO CHA MAISHA KWA KUUA NCHINI UINGEREZA


Gemini Donnelly-Martin, 20, na mama yake Amanda (kulia) wakiongea na Adebolajo wakati Ingrid Loyau-Kennett (kushoto) akiongea na Adebowale. Pembeni kushoto ni mwili wa Lee Rigby baada ya kuuawa.

Lee Rigby enzi za uhai wake akiwa na mpenzi wake Aimee West.
Magari  yakiwapeleka wafungwa hao gerezani.
Mtoto pekee wa marehemu.
Waandamanaji wakiwa nje ya mahakama wakati wa hukumu hiyo.
 
Michael Adebolajo.

 
Michael Adebowale.

 
Marehemu Lee Rigby.
WAISLAM wawili wenye itikadi kali nchini Uingereza, Michael Adebolajo na Michael Adebowale walitiwa hatiani Desemba mwaka jana na kuhukumiwa vifungo virefu kwa mauaji ya Lee Rigby huko Woolwich Barracks, kusini-mashariki mwa jiji la London mnamo Mei mwaka jana.
Waingereza hao weusi waliozaliwa nchini humo, walihukumiwa majuzi katika mahakama ya Old Bailey ambako walianzisha vurugu baada ya hukumu hiyo kwa kupiga kelele za  'Allahu akbar'  (Mungu Mkubwa) huku wakiwashambulia askari wa magereza.
Adebolajo (29) alihukumiwa kifungo cha maisha na Adebowale (22) amehukumiwa kifungo cha miaka 45 ikiwa na maana atatoka gerezani akiwa na umri wa miaka 67.
Watu hao walimshambulia Rigby wakati akitembea mtaani na  kumkatakata kwa silaha  hadi kufa, yote hayo yakifanyika mbele ya watu waliokuwa wamepigwa butwaa.
Washambuliaji hao walidai kuwa walikuwa ‘askari wa Mungu’ na walifanya hivyo kutokana na matatizo wanayoyapata Waislam wengine walio nchi za nje na kwamba walikuwa hawajutii kitendo hicho.
Kutokana na vurugu zao walizofanya mahakamani kwa kumrushia maneno hakimu, askari waliwatoa nje na hivyo hukumu yao kutolewa wakiwa hawamo mahakamani.
Miongoni mwa maneno waliyoyasema ni: “Wewe (Uingereza) na Marekani kamwe hamtakuwa salama.”

(DAILY MAIL)

Soma Habari Kamili

RAIS KIKWETE AUNGANA NA JUMUIYA YA CHUO KIKUU KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWILI WA BALOZI KAZAURA


Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka saini katika kitabu cha maombolezo wakati alipowasili kwenye hafla rasmi ya mazishi ya Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Marehemu Balozi Fulgence Kazaura katika ukumbi wa Nkrumah Chuoni hapo leo Februari 27, 2014. Nyuma yake ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Cha Dar es salaam, Profesa Rwekaza Mukandara na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Mhe saidi Meck Sadick.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na waombolezaji wengine kwenye hafla rasmi ya mazishi ya Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam Marehemu Balozi Fulgence Kazaura katika ukumbi wa Nkrumah Chuoni hapo leo Februari 27, 2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima zake za mwisho kwa Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Marehemu Balozi Fulgence Kazaura katika ukumbi wa Nkrumah Chuoni hapo leo Februari 27, 2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifariji familia ya marehemu kwenye hafla rasmi ya mazishi ya Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es salaam, Marehemu Balozi Fulgence Kazaura katika ukumbi wa Nkrumah Chuoni hapo leo Februari 27, 2014.

(PICHA NA IKULU)

Soma Habari Kamili

MTIKILA AWA BURUDANI BUNGENI


MWENYEKITI wa Chama cha Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila amekuwa burudani ya aina yake katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma kutokana na misimamo na misemo yake wakati akizungumza na waandishi wa habari.
Mtikila hukusanya idadi kubwa ya waandishi kila anapozungumza huku baadhi ya wanasiasa na wajumbe wengine wa Bunge la Katiba wakimshangaa.
Jumatatu iliyopita, Mtikila alishangaza alipodai kwamba Baba wa Taifa, hayati  Mwalimu Julius Nyerere na aliyekuwa Rais wa Zanzibar, hayati mzee Abeid Amani Karume hawakuziunganisha Zanzibar na Tanganyika, bali kitendo hicho kilifanywa na majasusi wa CIA wa Marekani, kwa ajili ya kuhofia hali ya usalama wakati ule wa vita baridi kati ya Mataifa ya Magharibi na iliyokuwa dola ya Urusi, USSR.
“CIA hawakutaka yatokee ya Cuba, walisema kabisa kwamba we don’t want another Cuba in Africa (hatutaki Cuba nyingine Afrika), isipokuwa hawa akina Nyerere walitumiwa tu,” alisema na kusababisha vicheko kutoka kwa waandishi na wengine waliomsikia.
Kuhusu suala la posho, Mtikila alizidi kuwa burudani alipodai wao wanastahili nyingi zaidi kwani wajumbe wa Tume ya Katiba iliyokuwa chini ya Jaji Joseph Warioba walilamba fedha nyingi wakati kazi yao ilikuwa ndogo kuliko wao watakayoifanya kwenye Bunge Maalum la Katiba. 

credit: GPL

Soma Habari Kamili

NAPE NNAUYE AWASHA MOTO SHINYANGA

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiangalia matembezi ya mshikamano wakati yakiingia uwanjani kabla hajaanza kuhutubia wakazi wa Shinyanga mjini.
 Wakazi wa Shinyanga mjini wakiwa na Furaha ya kuwakaribisha wanachama wapya ambao walikuwa madiwani kwa kupitia Chadema ambao tarehe 25 walijiuzuru na tarehe 26 Februari 2014 kujiunga na CCM.
 Zakaria Martin Mfuko aliyekuwa Diwani wa Chadema Kata ya Masekelo akihutubia wakazi wa Shinyanga mjini kwenye viwanja vya Mahakama ya Mwanzo na kuwaambia wananchi hao ameamua kurudi CCM kutokana na ufisadi na ukiukwaji ya maadili ya Uongozi ndani ya Chadema.
Sebastian Peter maarufu kama Obama aliyekuwa Diwani wa Chadema kata ya Ingokole akihutubia wananchi kwenye viwanja vya Mahakama ya Mwanzo mjini Shinyanga.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimsaidia kufunga vifungo vya shati Ndugu Sebastian Peter aliyekuwa Diwani wa Kata ya Ingokole ambaye amerudisha Kadi yake ya Chadema na kupokelewa rasmi CCM kwenye viwanja vya Mahakama ya Mwanzo mjni Shinyanga.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia maelfu ya wakazi wa Shinyanga mjini na kuwaambia Huu ndio Mwanzo tu,aliwaambia CCM imejengwa kwa misingi imara hivyo itaendelea kuwepo kwa muda mrefu zaidi.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimpa ushauri Mbunge wa Shinyanga Mjini Ndugu  Stephen Masele juu ya VETA mkoani hapo kutoa kozi zinazoendana na mahitaji ya Soko la Viwanda vya Shinyanga kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya mahakama ya mwanzo Shinyanga mjini tarehe 26 Februari 2014.

Soma Habari Kamili

USHAURI: FANYENI MAPENZI KWA AFYA NA SIO KWA KUKOMOANA

Katika hali ya kawaida kufanya mapenzi kuna faida nyingi, lakini linapokuja suala la kuzidi kiasi tunapata matatizo ya msingi ambayo huleta madhara kwa watu wanaoendekeza sana ngono.
Kuna watu ambao hawezi kulala bila kufanya mapenzi na huku wengine wakikosa uwezo wa kuvumilia hata kwa siku mbili au tatu.
Mtu anaweza kuwa na mke na kujikuta kila siku anatumia ‘chakula cha usiku’kwa sababu tu hakuna wa kumkataza na kwamba ana haki ya kufanya hivyo kwa sababu amelipa mahari.
Hilo linaweza kuwa jambo jema kwa upande mwingine, lakini uchunguzi unaonyesha kuwa watu wengi kati ya watu wanaolalamika kupoteza hisia za

Pamoja na tatizo hilo, yapo madhara mengine mengi ambayo mtu asiyekuwa na kiasi katika tendo la ndoa anaweza kukabiliana nayo, hivyo ni vema tukajifunza ili tusiwe watu wa kuendekeza miili kiasi cha kulazimika kufanya mapenzi kila tunapokutana hata kwenye nguzo ya umeme na chini ya miti kwa vile tu miili imetaka kufurahika.
Twende pamoja katika kutazama madhara hayo kwa kina.

KUPOTEZA HAMU YA TENDO.
Watu wenye pupa za kufanya mapenzi hupoteza haraka hisia za kimapenzi kwa wapenzi wao kutokana na sababu za kisaikolojia zinazoweza kujitokeza wakati wa ufanyaji wa tendo la ndoa mara kwa mara.

Sababu hizo zinaweza kuwa ni pamoja na zile za kumzoea mwenza kiasi cha kukosamsisimko hata anapomuona akiwa mtupu.

Aidha kukinai haraka staili za kimapenzi kunatajwa kujitokeza kutokana na kukutana mara kwa mara kwa aina zile zile za mapenzi na pengine sehemu moja, kitanda kimoja na chumba kile kile, jambo ambalo linaweza kumfanya mhusika asione jipya kutoka kwa mwenza wake na hivyo kupoteza hamu naye na kuhisi kama hawezi tena kushiriki tendo la ndoa kikamilifu.

KUUJAZA MWILI TAMAA KUBWA.  Tabia ya kufanya mapenzi mara kwa mara huongeza uzalishaji wa homoni mwilini na kuufanya mwili uwe na msukumo mkubwa wa kutaka kuridhishwa kwa tendo la ndoa bila kukosa na hivyo kumfanya mhusika asiwe mtu mwenye uwezo wa kuzuia tamaa na kukosa chaguo la nani wa kufanya naye mapenzi na kwa wakati gani?

Watu wanaojiendekeza katika kufanya mapenzi mara kwa mara ndiyo wale ambao kila wanayemtazama barabarani humtamani bila kujali hadhi yake.

Hawa ndiyo wanaobaka, kusaliti ndoa zao hata kwa watumishi wa ndani au kufanya mapenzi na watoto wao wa kuwazaa kwa vile akili zao huwa zimeathirika kwa tamaa ya mapenzi.

Unapokuwa mtu wa kufanya mapenzi mara kwa mara huwezi kuwa na uwezo wa kuzuia tamaa yako. Mumeo akiondoka siku mbili unatamani kuwa hata na houseboy ili akukate kiu ya penzi.

KUPOTEZA RAHA KAMILI YA TENDO. Raha ya tendo hutegemea sana hisia iliyokuzwa kutokana na mapenzi sahihi na kiu ya kufanya mapenzi, hivyo basi ukiwa mtu wa kufanya mapenzi kila mara unaweza kupoteza msisimko wa tendo na kujikuta unapata furaha ambayo haikutoshi kumaliza tamaa yako.
Kama ni mapenzi utakuwa unayafanya kwa mazoea tu na msisimko wako utakuwa mdogo!

KUPOTEZA NGUVU ZA MWILI.
Madhara mengine yanayoweza kupatikana kwa kufanya mapenzi mara kwa mara ni pamoja na kupoteza nguvu nyingi za mwili.

Kama tujuavyo tendo la ndoa hasa kwa wanaume huwafanya watumie nguvu nyingi, hivyo kuufanya mwili uchoke. Aidha lishe inapokuwa ndogo kwa wafanya mapenzi mwili hukosa nguvu za kutosha kuhimili misukosuko ya kimaisha.

Sambamba na hilo mbegu za uzazi zinazotoka kwa wanaume wanaofanya mapenzi mara kwa mara huwa dhaifu.
  KUPATA MAGONJWA.
Kama tulivyojifunza kuwa watu wanaofanya mapenzi mara kwa mara huwa na tamaa na hujikuta wanafanya mapenzi holela ambayo huweza kuwasababishia magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi, lakini ufanyaji wa mapenzi usiokuwa na msukumo wa kutosha hasa kwa wanawake huwafanya waishiwe msisimko na kuzifanya sehemu zao za siri kutotoa ute unaoweza kuwakinga na michubuko wakati wa kujamiiana na hivyo kuwasababishia michubuko itakayoweza kuleta maambukizi ya haraka ya magonjwa ya zinaa ukiwemo ukimwi.

Soma Habari Kamili

NAKALA YA PILI YA RASIMU YA KANUNI ZA BUNGE LA KATIBA


 Itakumbukwa kwamba tarehe 19 Februari 2014 Mwenyekiti wa Muda wa Bunge Maalum Pandu Kificho aliteua Kamati ya Wajumbe ishirini yenye uwakilishi wa makundi yote yanayounda Bunge Maalum kwa ajili ya kumshauri kuhusu Rasimu ya Kanuni za Bunge Maalum.

Rasimu ya kwanza ya Bunge Maalum iliandaliwa na Kamati ya Maandalizi chini ya Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na Katibu wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (
nakala yake niliwapa hapa).

Kazi ya mjumbe ni kuwakilisha na kuwasilisha; katika kutekeleza wajibu huo, jana 26 Februari 2014 tulikuwa na Semina ya Bunge Maalum kuhusu Rasimu ya Pili ya Kanuni za Bunge Maalum toleo la 2014.


Katika mjadala wa jana niliunga mkono mapendekezo ya rasimu katika sehemu ya nne kuhusu kupunguzwa kwa mamlaka na madaraka makubwa ya Mwenyekiti wa Bunge Maalum, tofauti na rasimu ya kwanza; sasa
maamuzi ya mwenyekiti hayatakuwa ya mwisho. 


 Mjumbe asiporidhika anaweza kukata rufaa na pia rasimu sasa inapendekeza kwamba mwenyekiti au makamu wanaweza kuondolewa kwa kura ya kutokuwa na imani.

Niliunga mkono kuruhusiwa kwa utaratibu wa kuwasilisha Taarifa ya Maoni Kinzani (dissenting opionion); hii ni kwa sababu rasimu ya kwanza haikuwa na utaratibu wa uwasilishaji bungeni wa hoja za wabunge, hoja zote ilikuwa ni kamati. 


Njia pekee ya kuwezesha mawazo mbadala kuweza kufika katika ukumbi wa Bunge kwa ukamilifu ukiondoa michango ya wabunge ni kupitia Taarifa za Maoni Kinzani.

Utaratibu huu utawezesha pia kufanya wajumbe walio wengi wenye msimamo unaofafanana kuepusha uwepo wa maoni kinzani kwa kujadiliana na kuridhiana na wachache wenye maoni ya msingi bila kujali idadi yao na hivyo kujenga muafaka wa kitaifa. 


 Taarifa ya Maoni Kinzani isiporuhusiwa upigaji kura utatumika kwa haraka kupitisha msimamo wa wengi bila kutafakari kwa kina mtizamo wa wachache ndani ya kamati ambao wakati mwingine unaweza kuwa unawasilisha maoni ya wananchi wengi nje ya Bunge.


Nimeunga mkono utaratibu wa kura ya siri kutumika kupitisha hoja za kamati na masharti ya Rasimu ya Katiba ibara kwa ibara na hatimaye kupitisha rasimu ya mwisho ya katiba. Mtizamo wangu wa awali ulikuwa ni kura kuwa ya wazi kwa kuzingatia kwamba wajumbe ni wawakilishi. 


 Hivyo, ni muhimu wanaowawakilisha wakafahamu wawakilishi wao wamesimamia upande gani na pia kuwezesha kila mjumbe kuwajibika kutokana na kura yake. Aidha, kura ya wazi inaweza kudhibiti wajumbe dhidi ya ushawishi usio sawa (undue influence) ikiwemo unaowezesha kuhusisha ufisadi kwa kuwa mjumbe atajulikana wazi iwapo atakwenda kinyume cha maoni ya wananchi kwenye masuala ya msingi kwa sababu ya ushawishi huo.

Kwa kuzingatia mtizamo huo, nilipendekeza kwa wenzangu kwamba kura ziwe za mchanyato/mchanganyiko; katika hatua ya kwanza ya kura kupigwa wakati wa kupitisha ibara moja moja ya katiba, kura ya siri itumike. Ili wajumbe wawe huru katika hatua hiyo kupigia kura ibara kwa ibara kwa kadiri ya ripoti za kamati na majadiliano.


 Lakini kura ya mwisho, baada ya kuwa ibara zote zimekubaliwa; ya kupitisha katiba kwa ujumla wake basi kura iwe ni ya wazi ya kuitwa jina mjumbe mmoja mmoja kama ambavyo Bunge hufanya wakati wa kupitisha bajeti.

Hata hivyo, baada ya kupata Waraka na. 3 wa Siri wa CCM kuhusu Rasimu ya Katiba wa Februari 2014 ambapo pamoja na mambo mengine ni wa ‘kujipanga vizuri katika hatua zinazofuata za mchakato wa kuunda katiba mpya’ ikiwemo katika Bunge Maalum na kusikiliza michango ya baadhi ya wajumbe jana niliona wazi kwamba watetezi wa kura ya siri wana ajenda ya siri nyuma yao.


Katika mazingira hayo, ili kuwezesha uhuru wa wajumbe katika uamuzi kwa kuzingatia maoni ya wananchi na majadiliano yatayofanyika bungeni kwa lengo la kujenga muafaka wa kitaifa katika mchakato wa katiba nimeamua kwa nia njema kuwa mtetezi wa kura ya siri kutumika katika Bunge Maalum.


Kila mjumbe awezeshwe kuwajibika kwa nchi yake, nafsi yake na Mungu wake kwa kuzingatia maoni ya nchi na maslahi ya taifa badala ya kupiga kura kwa kuhofia msimamo wa chama, taasisi au kundi analoliwakilisha katika Bunge Maalum.

Nilieleza wazi kwamba wanaopendekeza kuwa ibara za rasimu ya katiba zipitishwe kwa wingi wa kawaida (simple majority) na kwamba wingi wa theluthi mbili utumike wakati wa kuamua kuhusu rasimu ya mwisho pekee wanataka Bunge Maalum lipitishe kanuni inayokwenda kinyume na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ambayo kimsingi itakuwa batili.

Nilieleza kwamba watetezi wa hoja hii wanasoma sheria toleo la Kiswahili pekee ambalo lina makosa; kifungu cha 26 (2) kinasema “Ili katiba inayopendekezwa iweze kupitishwa” wakati ambapo ya Kiingereza inasema “The provisions of the proposed constitution shall require passing by”; kwa maana ya kwamba inazungumzia vifungu.

 
 Aidha, pamoja na kuwa Sheria hiyo hiyo toleo la Kiswahili 32 (4) inasema matoleo ya Kiingereza na Kiswahili “yote ni sahihi” , toleo la Kiingereza limesema “are authentic”; kwa maana ya kuwa ni halisi.

Mgongano huo baina ya sheria mbili unapatiwa ufumbuzi kwa kurejea sheria zingine na maamuzi ya mahakama ambapo inaonyesha kwamba kunapotokea mgogoro baina ya matoleo ya lugha zingine za sheria ile ya Kiingereza inatamalaki. Hivyo, kwa kuwa sheria hizo zinazotukuza Kiingereza bado hazijabadilishwa, sheria inayopaswa kuongoza Kanuni ni ya Kiingereza ambayo imeweka bayana kwamba vifungu vitapitishwa kwa kura ya wingi wa mbili ya tatu.


Napendekeza kwamba masuala haya manne ambayo kuna mwelekeo kwamba kuna watu wamekutana juzi, kabla ya mjadala wa jana kupanga kwamba maoni ya kamati yasikubaliwe yanapaswa kuungwa mkono na wajumbe na wananchi nje ya Bunge.


Pamoja na kuunga mkono masuala hayo, yapo marekebisho ambayo nimependekeza kwa maandishi yafanyike na mengine nitaendelea kuyapendekeza leo na kesho. 


Katika muktadha huo, naiweka hapa nakala ya Rasimu ya Pili ya Kanuni za Bunge Maalum ili nawe ushiriki kutoa maoni na kushawishi wajumbe unaoweza kuwafikia ili kwa pamoja tuhakikishe zinatungwa bora zitazowezesha Bunge Maalum kuendeshwa kwa ufanisi katika kuiboresha rasimu na kuifanyia mabadiliko mazuri kwa kuzingatia maoni ya wananchi na maslahi ya nchi.


Wenu katika uwakilishi wa umma,

John Mnyika (Mb)
27/02/2014
Dodoma


Rasimu ya Pili ya Kanuni za Bunge Maalum Toleo la 2014.pdf

Soma Habari Kamili

JACKILIN WOLPER: 'HAKATWI MTU HAPA', AFUNGUKA KUHUSIANA NA SKENDO LA KULIWA URODA NA THE DON!

Msanii nyota kwenye tasnia ya filamu za kibongo Jacqkline Wolper na Manaiki Sanga, anayejulikana kama The Don, wako katika bifu kubwa kisa kikiwa ni picha walizopiga pamoja.

Tukio hilo limechukua sura mpya kwenye mitandao ya kijamii baada ya wiki mbili zilizopita gazeti hili kuanika picha za mastaa kadhaa waliowahi kupiga picha zilizozua minong’ono mitaani, kutokana na tabia ya Manaiki kuaminika kuwa ni wanawake aliotembea nao.

Maskani Bongo liliandika juu ya Wema Sepetu kunasa kwenye mtandao wa ngono, huku likionesha picha yake kubwa akiwa na Manaiki Sanga wakiwa wamekumbatiana huku picha ndogo ndogo za wasanii wengine maarufu akiwemo Jackline Wolper nao zikiwaonyesha wakiwa na mcheza filamu huyo.
Baada ya habari hiyo kutoka, baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo walichukua kurasa za gazeti hilo na kuiweka mtandaoni na watu walipoanza kutoa maoni yao, Jack alimzungumzia Manaiki na kukanusha kuwahi kushiriki naye mapenzi.Mjadala mkali ulizuka huku mashabiki wa wasanii hao wakisemana vikali ambapo Wolper aliomba kuelezea jinsi ilivyokuwa hadi akakutana na Manaiki, akasema “Duh yaani mimi nimekuwa mpenzi wa Manaiki tena? Huyu mshikaji alishaahidi kuwa kwa gharama yoyote atakuwa staa, hivyo akatoa mkwanja wake watu tukaula basi,” alisema Wolper.

Soma Habari Kamili

Ungana Nasi, Like Page Yetu Hapa Chini